USAJILI WA WAKULIMA WASHIKA KASI

Na Mwandishi Wetu-Dodoma Wizara ya Kilimo kwa kushirikiana na wizara ya Ofisi ya Rais TAMISEMI, Sekretarieti za Mikoa na Halmashauri za Serikali za Mitaa zinaendelea na usajili wa wakulima kwenye mfumo wa M-Kilimo ili waweze kutambuliwa, kutoa huduma kwa njia ya simu na pia Serikali kutoa huduma zingine kwa urahisi. Mpaka sasa hivi zaidi ya